Sayansi ni neno ambalo pengine watanzania tunalitamka sana.
Kati yao wapo ambao tunalitamka na kulitumia vizuri, na pia ambao hatulitumii vizuri ama na hata kutolifahamu kabisa
kama sio hata kulitamka na kulisikia.Ukianza kuzungumzia maana, unaweza kuzua
UBISHI badala ya MJADALA, kitu ambacho ndio JADI yetu WABONGO. Lakini, KIBONGOBONGO,potelea mbali acha tubishane tu
mpaka tufe na NJAA.
Kimsingi,