KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Monday, December 2, 2013

SAYANSI YA NINI BONGO ?



Sayansi ni neno ambalo pengine watanzania tunalitamka sana. Kati yao wapo ambao tunalitamka na kulitumia vizuri, na pia ambao hatulitumii vizuri ama na hata kutolifahamu kabisa kama sio hata kulitamka na kulisikia.Ukianza kuzungumzia maana, unaweza kuzua UBISHI badala ya MJADALA, kitu ambacho ndio JADI yetu WABONGO. Lakini,  KIBONGOBONGO,potelea mbali acha tubishane tu mpaka tufe na NJAA. 

Kimsingi,