KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Monday, January 28, 2013

UTUMWA WA KIFIKRA SASA BAAAAAAAAAASI!!!



"Kuogopa Ukweli 
Kunatugharimu Sana Kimaisha"
Mara nyingi tunapoongelea Utumwa tunamaanisha ile hali ya Umiliki wa Binadamu  na kumfanya kama bidhaa. Inawezekana kukawa na kufanana kwa baadhi ya vitu, lakini pia hali ya kuwa huwezi kufanya maamuzi fulani sahihi kwa sababu tu unaogopa kuwa utakuwa unapingana na ukweli au uhalisia, na hivyo unalazimika kuendelea kufanya yasiyo sahihi kuyafanya tunaweza kuiita utumwa wa kifikra.

Monday, January 14, 2013

TQM FOR TANZANIAN EDUCATION QUALITY IMPROVEMENT

(A review paper of  Total Quality Management application at Ardhi University)
Improving the quality of education may give the best solution to many Tanzanian Social, Economical and political problems in the end. Tanzania of today the question is not more of the quantity of educated people (Tanzanians) but rather the people with quality education to productively guide the country through the expected results of the growth and development.  Actually, being a Tanzanian today means unethical, sluggish, extravagant, treacherous and the like (MBONGO MAN). It is not uncommon for a Tanzanian to be late in the meeting and be happy,or likewise to 100% give self interest priority over the nation interest in the purely public undertakings. That is why even the key organ like Parliament is sometimes street joked to be like a movie or comedy episode. All of these gives the signs that our education system may not be serving Tanzanian or doing it at minimal level. We are not too old to learn.

Sunday, January 13, 2013

KATIBA MPYA YA TANZANIA


"chonde chonde, misingi,haki na wajibu vipewe kipaumbele"

 “MAAMUZI YETU NDIO HATIMA YETU”

Maoni kwenye katiba ni muhimu sana, na watanzania wote tulione hili kuwa ni jambo linalotuhusu sisi na vizazi vyetu, tuweke ITIKADI, JAZBA, KASUMBA(UBINAFSI) NA IDEOLOGIES zetu pembeni, na kuchangia kwa dhati ya kujenga taifa la Tanzania, la leo na kesho.Pia Serikali na Wahusika wote wa

Sunday, January 6, 2013

KISWAHILI MUHIMU SANA KWA UBORA WA ELIMU YA TANZANIA


WAZO LA  KIZALENDO!
CHEKECHEA NA MSINGI: UNG'ENGE TU, NAOMBA TUSILIJADILI KWA SASA.

 TUJADILI  HILI  KWANZA
kuanzia SEKONDARI MPAKA SHAHADA tutumie

Saturday, January 5, 2013

KWELI SADIKI JUMA KILOWOKO AMEFARIKI DUNIA

SAJUKI

MWENYEZI MUNGU 
AMEMPENDA ZAIDI, WANADAMU HATUNA BUDI KUKUBALI. 

Tuesday, January 1, 2013

tunawatakia kheri ya mwaka mpya wa 2013


T