Wakati Kikao cha 11 sijui, kikiwa
kibichi kabisa,tayari kumekuwa na mambo kibao kutoka Bungeni, ambayo unaweza
kuyatafsiri vyovyote utakavyo. na Watanzania kama kawaida yetu, KILA mmoja
anachagua wa kumtetea. Ili mradi mtu utoe HOJA. Tanki linaomba kuchangia kidogo,
katika mijadala yetu mbalimbali juu ya mwenendo wa BUNGE letu, NA TANKI NALO NI LA BONGO
VILEVILE, hivyo ulisome KI-BONGO BONGO.
Ukiangalia Kifungu cha 63 (2) cha Katiba ya Juamhuri ya Muungano wa Tanzania, kama sehemu ya pili, Bunge