KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Wednesday, April 24, 2013

BUNGENI NA WABUNGE



Wakati Kikao cha 11 sijui, kikiwa kibichi kabisa,tayari kumekuwa na mambo kibao kutoka Bungeni, ambayo unaweza kuyatafsiri vyovyote utakavyo. na Watanzania kama kawaida yetu, KILA mmoja anachagua wa kumtetea. Ili mradi mtu utoe HOJA. Tanki linaomba kuchangia kidogo, katika mijadala yetu mbalimbali juu ya mwenendo wa BUNGE letu, NA TANKI NALO NI LA BONGO VILEVILE, hivyo ulisome KI-BONGO BONGO.

Ukiangalia Kifungu cha 63 (2) cha Katiba ya Juamhuri ya Muungano wa Tanzania, kama sehemu ya pili, Bunge

Tuesday, April 23, 2013

DARASA LA SABA KUJIUNGA CHUO KIKUU

ELIMU YA JUU 

NI HAKI YA KILA MTANZANIA, 

HIVYO 

TUBORESHE WAZO BADALA YA KULIPINGA


Kwa mujibu wa Ibrahim Yamola, Mwananchi katika kiungo  (http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/-/1597296/1753450/-/12aid4m/-/index.html), Tume ya Vyuo Vikuu Nchini (TCU), imepanga kuanza kuwadahili wanafunzi wa kujiunga na masomo ya vyuo vikuu kwa kutumia uzoefu wao.

Monday, April 15, 2013

BUNGENI: HOJA YA BANGI IFANYIWE KAZI NA IISHE

HOJA YA BANGI: Wakisema nchi za Ulaya tutakataa?

Pengine LAWAMA ije kama Mbunge hakutoa Tathmini ya kina JUU ya FAIDA na HASARA za BANGI na SIGARA! Kiasi cha kutufanya tushindwe kuamua kipi bora. SIDHANI kama hoja hii inapaswa kuwa kama Nyongeza,ukiangalia uzito wake katika jamii, endapo itapewa maamuzi chanya!

Friday, April 12, 2013

TANGANYIKA NA ZANZIBARI



“ENYI WANANGU WAWILI, TANGANYIKA ZANZIBARI

Kweli mwanangu Akili, Hebu mwanangu fikiri.
Fiki mwanangu wa pili,Nawe mwanangu subiri.
Nyie wanangu wawili,Msifanye ya Bakiri.