KIKOSI CHA MPAJU ATINISU KILICHOLETA USHINDI NA KUSHIKA NAFASI YA TATU

Hawa ndo vijana walio tung'arisha na bado wanahamu ya kufanya zaidi ya hapa...

Kikosi toto cha Mpaju SC

Hiki ndicho kikosi cha Mpaju SC upande wa watoto kikiwa kwenye ziara katika shule ya msingi Mpolo.

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja

Mpaju FC wakiwa kwenye Picha ya Pamoja wakati wa Tamasha la Mpaju Week 2019 Uwanja vya Magereza Mbeya.

Tuesday, June 25, 2013

TULIANZA KUTUKANA, TUMEANZA KUPIGANA

"TULIANZA KUTUKANA, TUMEANZA KUPIGANA"

Imani nawe Amina, kama kesho kama jana.
Ugumba na wengi wana, neema za maulana.
Wote kwake nyie wana, ajua zenu amana.
TULIANZA KUTUKANA, TUMEANZA KUPIGANA.

Monday, June 24, 2013

Prof J! Hii Hapana

 Kwenye Mkasi na Profesor J!!
 http://www.youtube.com/watch?v=-8rXXIpmPa0, Salama Jabri akiendesha vizuri kipindi hiki, mengi mazuri aliyaongea mwanamuziki mkongwe na bora wa muziki wa HIP-HOP, Professor J.

YOTE, Nimeyapenda ila kidoooooooogo, kwenye hili moja! "Kila anachofanya Mwan HIP-HOP hapa TANZANIA kwa sasa, mimi NIMEKWISHA FANYA". Profesor J, hapo tutake radhi mashabiki wako na hasa wa Hip Hop! Hasa nikisikiliza nyimbo kama NJE YA BOX ya NIKKI wa pili http://www.youtube.com/watch?v=djSJz4T6tcU, na DEAR Gambe wa Dogo Young Killer!!!!!!!!!!!!

Tuesday, June 11, 2013

MAONI JUU YA RASIMU YA KATIBA MPYA-1



KWANZA TUNAIPONGEZA HATUA NZURI NA KAZI NZURI ILIYOFANYWA NA TUME YA KATIBA MPYA. 

LAKINI MAONI YA MABORESHO PIA MUHIMU. NA KAMA ADA, NI VEMA KUWEKA WAZI KUWA MAONI HAYA YANAWEZA KUWA NI SABABU TU YA UPEO MDOGO WA KUIELEWA RASIMU, ILA NI VEMA KUTOA KULIKO KUJA KUJILAUMU KWA KUTO KUTOA MAONI. 

WANASHERIA NA WADAU WENGINE WENYE UJUZI ZAIDI TAFADHALINI TUONGOZENI KATIKA HILI


KUTOKA TANKINI

LUGHA YA TAIFA NA LUGHA ZA ALAMA
4.-(1) Lugha ya Taifa ya Jamhuri ya Muungano ni Kiswahili na itatumika katika mawasiliano rasmi ya kitaifa na kiserikali.